Mkufunzi wa Kilimo na Mwezeshaji Masoko kutoka Chuo cha Uhaulishaji Teknolojia Mazao ya Bustani (HORTI- TENGERU), Abdallah Mussa,akiwasilisha mada wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
Afisa Kilimo kutoka Wizara ya Kilimo, Bahati Yusuph Majaliwa,akiwasilisha mada wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
SEHEMU ya washiriki wa Gidesha AMCOS wakifatilia mada mbalimbali wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyofanyika leo Juni 5,2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
SEHEMU ya washiriki wa Gidesha AMCOS wakifatilia mada mbalimbali wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyofanyika leo Juni 5,2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
SEHEMU ya washiriki wa Gidesha AMCOS wakifatilia mada mbalimbali wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyofanyika leo Juni 5,2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.
Diwani wa Kata ya Haydarer, Anna Sulle,akiipongeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kuwapatia mafunzo wanaushirika wa Gidesha AMCOS mara baada ya mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025
AFISA Ushirika Mwandamizi kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Bi.Happyness Olotu,akihitimisha mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara kwa wanaushirika wa Gidesha AMCOS