0 Comment
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa (wa pili kutoka kulia) akikabidhi hundi ya msaada wa shilingi milioni 20 kwa viongozi wa kikundi cha Busindi Asali zilizotolewa na Taasisi ya kimataifa ya Nos Vies en Partage (NVeP) kushoto ni Mwanzilishi wa taasisi hiyo ambaye pia ni Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Barrick... Read More