0 Comment
Baadhi ya Wasichana na wanawake waliowezeshwa na shirika la CAMFRED hadi kufikia ujasiliamali. Picha ya pamoja. KATIKA jamii nyingi za Kitanzania, wanawake na wasichana wamekuwa wakikumbana na changamoto za kiuchumi, kielimu, na kijamii. Hata hivyo, kupitia uwezeshaji wa shirika la CAMFED, baadhi yao sasa wamekuwa mfano wa kuigwa kwa kuleta mabadiliko chanya si tu katika... Read More