0 Comment
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, akizungumza na waandishi wa Habari Leo Februari 15,2025 Mkoani Ruvuma kuhusu Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, maarufu kama Mama Samia Legal Aid Campaign (MSLAC),inayotarajia kuanza katika Mikoa Mitano. ……. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, ametangaza kuendelea kwa Kampeni ya... Read More