0 Comment
Polisi katika mji wa Mumbai, India, wamemkamata Mohammad Shariful Islam Shehzad kuhusiana na shambulio la kisu dhidi ya mwigizaji maarufu wa Bollywood, Saif Ali Khan, lililotokea wiki iliyopita. Khan, mmoja wa nyota wakubwa nchini India, alidungwa kisu nyumbani kwake na mvamizi katika tukio lililoibua mshtuko mkubwa kote nchini. Kwa sasa, Khan anapata nafuu baada ya... Read More