Na Saidi Saidi, WMJJWM – Dodoma Machi 12, 2026 Wanawake wametakiwakuchangamkia fursa zilizopo katika majukwaa ya uwezeshaji Wanawake kiuchumi Ili kujiongezea kipato kwa Maendeleo yao na kijamii. Hayo yamesemwa Leo Machi 12,2026, na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamiii Jinsia Wanawake na Makundi Juliana Kibonde, Read More













