Na Sophia Kingimali. Mwenyekiti wa bodi Shirika la uwakala wa meli Tanzania(TASAC) Nahodha Musa Mandia amesema usafiri wa bahari umezidi kuimarika kiulinzi na usalama hali iliyopelekea kuendelea kuchangia katika ukuaji wa uchumi nchini. Pia,ametoa rai kwa wananchi kutembelea kwenye banda lao lililopo kwenye maonesho ya sabasaba ili waweze kujifunza namna shirika hilo linavyofanya kazi katika... Read More