KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amesema kikosi chake kitapokea mabadiliko ya kila wakati kutokana na changamoto za ratiba nzito za mechi zinazofuata za Ligi Kuu Tanzania Bara na Kombe la Shirikisho la CRDB. Barker amesema , ili kuhakikisha kila mchezaji anapata nafasi ya kucheza na timu inabaki imara, mabadiliko ya kikosi ni lazima.... Read More







