Mgombea urais wa Barcelona, Joan Laporta, amefunguka kuhusu kauli zilizotolewa na Xavi Hernández katika mahojiano yake na La Vanguardia akisema Xavi anaumizwa na mafanikio ya Hans Flick anayoyapata akiwa na wachezaji wale wale aliokuwa nao Xavi. Kiungo huyo wa zamani na kocha aliushambulia vikali uongozi wa zamani, akimlaumu Laporta kwa kushindikana kurejea kwa Lionel Messi... Read More








