Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Viongozi wa Dini wana wajibu wa pekee wa kuliombea Taifa kama ambavyo Biblia Takatifu ilivyoelekeza. Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa wa hafla ya kusimikwa Uongozi wa Kitaifa wa Awamu ya Tano wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPTC), Read More
Na Mwandishi wetu, Arusha WAANDISHI wa habari za mazingira wa Kanda ya Kaskazini na Kati, wametakiwa kuandika habari za uchunguzi ambazo zinachochea mabadiliko ya sheria na sera na kuhimiza uwajibikaji. Wakitoa mada katika mafunzo ya waandishi wa habari za mazingira, yaliyoandaliwa na Mtandao wa watetezi wa haki za binaadamu (THRDC) kwa kushirikiana na Taasisi ya Read More
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta anaongoza ujumbe wa wakulima na wafanyabiashara kutoka Tanzania unaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Matunda na Mbogamboga ya Fruit Logistica 2026 yanayofanyika Berlin kuanzia Februari 03 hadi 06, 2026. Ujumbe huo unajumuisha Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Read More
DAR ES SALAAM: Mwanamitandao maarufu, Clemence Mwandambo, amewapa somo vijana kuhusu masuala ya mahusiano, akisisitiza kuwa si busara kurudiana na mpenzi wa zamani (Ex). Akizungumza kupitia mitandao ya kijamii, Mwandambo amedai kuwa mwanamke hapendi kuachwa mara mbili, hivyo endapo mwanaume atarudiana na mpenzi wake wa zamani, anaweza kukumbana na changamoto au madhara makubwa baadaye. “Ex... Read More
LUANDA- NAHODHA wa Simba SC, Shomari Kapombe, amesema wanataka kuutumia mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Petro Atletico kama sehemu ya maandalizi ya mechi zijazo za Ligi Kuu na Mashindano mengine. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Jumamosi nchini Angola ambapo tayari wekundu ni kama wamepoteza matumaini ya kusonga mbele kutokana na Mwenendo wa... Read More
NAHODHA wa Simba SC, Shomari Kapombe, ameweka wazi kuwa kipaumbele kikubwa kwa sasa ndani ya kikosi hicho ni kupigania nembo ya klabu katika kila mchezo, hususan kipindi hiki ambacho timu haijawa na matokeo mazuri katika michuano ya kimataifa. Kapombe amewataka mashabiki wa Simba kusahau matokeo yaliyopita na badala yake kuangalia mbele, amesisitiza umuhimu wa mshikamano... Read More
MWENYEKITI wa Klabu ya Simba na Makamu Mwenyekiti wa Bodi, Murtaza Mangungu, amesema uongozi wa klabu hiyo unaendelea kutekeleza majukumu yake kama inavyoelekezwa na katiba, huku akisisitiza kuwa tathmini ya viongozi hufanyika pale muda unapofika. Mangungu amesema kwa sasa wao kama viongozi wako kazini na hawajafikia hatua ya kujitathmini, akieleza kuwa itakapofika muda sahihi ndipo... Read More
ALIYEKUWA kiungo wa Klabu ya Simba, Jean Charles Ahoua ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya CR Belouizdad ya Algeria, tayari yupo nchini kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Singida Black Stars utakaochezwa visiwani Zanzibar. Nyota huyo aliyewahi kuichezea Simba aliuuzwa kwenda CR Belouizdad, klabu ambayo Jumapili, Februari 8, 2026... Read More