DAR ES SALAAM: KOCHA Miguel Gamondi amesaini mkataba rasmi wa kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kwa mkataba wa miaka miwili. Hafla ya utiaji saini wa mkataba huo imefanyika leo, Februari 16, 2026, katika Uwanja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na Waziri wa Habari,... Read More









