ARUSHA: ZAHANATI yenye gharama ya zaidi ya Sh milioni 180 inajengwa ndani ya ukuta wa migodi ya madini ya Tanzanite iliyopo katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mirerani mkoani Arusha. Lengo ni kuwazogezea huduma ya matibabu wachimbaji na tiba za huduma ya kwanza za ajali migodini. Zahanati hiyo inajengwa na Kampuni ya Franone Mining inayomilikiwa... Read More















