Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Elimu Tanzania Prof. Maulid Mwatawala amezindua kampeni ya upandaji miti katika kuelekea Maadhimisho ya Miaka 50 ya TET yanayotarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi Juni 2025. Prof. Mwatawala aliongoza zoezi hilo Mei 10, 2025 katika Ofisi za TET Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wajumbe wa Baraza pamoja na... Read More