NA DENIS MLOWE, IRINGA KAMBI Maalumu ya Kibingwa ya Upasuaji wa Mdomo Sungura na Mdomo Wazi imezinduliwa rasmi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, ikihusisha madaktari bingwa kutoka ndani na nje ya nchi.Uzinduzi huo umefanywa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mh. Kheri James, ambaye ametembelea maeneo ya utoaji huduma na kujionea maandalizi Read More









