HESABU za kufuzu bado ni ngumu kwa Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika, hali inayowalazimu kuangalia zaidi ya mechi yao wenyewe. Hii ni baada ya Yanga kuumiza kichwa wakijikuta wakiombea AS FAR Rabat kupoteza mchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Al Ahly ili wao wawe na nafasi ya kutinga robo fainali.... Read More







