Na Mwandishi wetu- Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amewapongeza watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa jitihada kubwa wanazozifanya katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku kwa maendeleo ya Taifa. Dkt. Yonazi ameyasema hayo leo tarehe 18 Julai, 2025 Ofisini kwake... Read More