UONGOZI wa klabu ya Simba umefanikiwa kumuongezea mkataba beki wake tegemeo Rushine De Reuck baada ya kukamilisha taratibu zote za kipengele cha kuongeza muda kilichokuwapo kwenye makubaliano ya awali. Hatua hiyo inaashiria kuendelea kwa ushirikiano kati ya pande hizo mbili huku uongozi wa timu ukionyesha imani kubwa kwa mchezaji huyo raia wa Afrika Kusini. Awali... Read More









