Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza kwa njia ya mtandao na waajiriwa wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mafunzo elekezi yaliyofanyika mkoa wa Pwani. ************ Mawakili wa Serikali wametakiwa kutoa ushauri wa kisheria unaozingatia maslahi mapana ya Serikali na Taifa ili kuiwezesha Serikali kuokoa fedha zitakazosaidia kukuza uchumi kwa... Read More