DAR ES SALAAM :MCHEZAJI wa kimataifa wa Burkina Faso, Stéphane Aziz Ki, ameendelea kuonesha mapenzi ya dhati kwa mke wake, Hamisa Mobetto, baada ya kumzawadia gari la kifahari aina ya G-Wagon ikiwa ni sehemu ya kusherehekea mwaka mmoja tangu wafunge ndoa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, nyota huyo aliambatanisha video ya tukio hilo la kimapenzi... Read More












