SIMBA SC imeweka wazi kuwa kwa sasa fikra zake ziko kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji FC, huku Kariakoo Derby dhidi ya Yanga SC ikiwa bado ni suala la baadaye. Beki wa Simba, David Kamenta “Duchu”, amesema kuwa kikosi chake kitapambana kwa nguvu zote katika mchezo wa Dodoma ili kukamilisha kampeni yao ya... Read More








