KOCHA Mkuu wa timu ya B19 maarufu kama Mabeberu wa Jiji, Twaha Beimbaya amesema mchezo wao dhidi ya Simba SC umekuwa somo kubwa kwa kikosi chake, akieleza kuwa vijana wake wamepata uzoefu mkubwa licha ya kuondolewa katika hatua ya 32 ya Kombe la Shirikisho la CRDB. Katika mchezo huo uliochezwa jana usiku kwenye Uwanja wa... Read More











