Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam Jukwaa la Watumiaji Tanzania (TCF) limetangaza kuwa maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kwa mwaka 2026 yatafanyika jijini Tanga tarehe 15 Machi 2026, yakilenga kuhamasisha ulinzi wa haki, usalama na ustawi wa watumiaji wa bidhaa na huduma nchini. Akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar Read More











