KIUNGO wa Simba SC, Elie Mpanzu, amefunguka na kukata mzizi wa fitna kuhusu taarifa zinazomhusisha na kuwa na mapenzi na wapinzani wao wa jadi, Yanga SC. Nyota huyo amesema anachokipitia kwa sasa ni kipindi kigumu cha kawaida kwa mchezaji, lakini anaamini atarejea katika ubora wake wa zamani. Kauli ya Mpanzu inakuja kufuatia madai kwamba kushuka... Read More







