Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametaka mbali na vyumba vya kunyonyeshea katika Soko la Kariakoo, kujengwe vyumba vya malezi ya watoto, kwa kuishirikisha sekta binafsi, ili mama zao wanaofanya biashara wapate muda wa kufanya shughuli zao. Dkt Samia ametoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam leo, Jumapili Februari 8, 2026 alipofungua Soko la Kariakoo lililojengwa
The post Video: Rais Samia Ataka Kujengwe Eneo La Kulea Watoto Sokoni Kariakoo appeared first on Global Publishers. Read More












