ZANZIBAR: TAMASHA la Sauti za Busara linalofanyika mwezi Februari kila mwaka kwa mwaka 2027 litafanyika mwezi Machi ili kupisha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani utakaofanyika ndani ya mwezi wa Februari. Mwenyekiti wa Tamasha hilo, Journey Ramadhani ametaja tarehe ya Tamasha hilo kwa mwakani kuwa ni Machi 11 hadi 14. “Tamasha huwa likifanyika kila mwezi... Read More









