Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awaongoza Watanzania kwenye maziko ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya. Read More
Kupanda cheo ni kuongezewa majukumu ya kiuongozi katika usimamizi wa shughuli za uhifadhi, utalii, ulinzi, maendeleo ya jamii na urithi wa asili na utamaduni uliopo hifadhi ya Ngorongoro. Read More
Rais wa Msumbiji Mheshimiwa Daniel Chapo tayari amewasili Zanzibar akitokea Jijini Dar Es Salaam ambapo akiwa Zanzibar atakua na ziara fupi ya kikazi Read More
Mbunge wa Tandahimba (CUF),Mhe. Katani Ahmed Katani,amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kama Mbunge wa Pangani, Juma Aweso atarudi tena bungeni katika uchaguzi ujao basi amrejeshe katika nafasi yake ya uwaziri wa Maji ili aweze kukamilisha yale mambo mazuri yaliyobaki. Read More