0 Comment
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya ikiwemo vifaa,Dawa,Majengo na miundombinu na Watumishi lakini bado safari ya maendeleo katika Sekta hii huwa haiishi kutokana na watu kuongezeka na magonjwa kubadilika. RC Senyamule amesema hayo leo Jijini Dodoma Julai... Read More