0 Comment
NA DENIS MLOWE, IRINGA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Daudi Yassin, amesema kuwa ushindi mkubwa walioupata katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji, na vitongoji imetokana na utekelezaji wa ilani ya chama hicho chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na kuwashukuru wananchi kwa kuwapigia kura. Yasin alisema hayo wakati akizungumza na... Read More