0 Comment
Wananchi wa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe wameendelea kunufaika na matunda ya serikali ya awamu ya sita kwa kukabidhiwa vyombo vya usafiri ikiwemo piki piki pamoja na magari ya kubeba wagonjwa (AMBULANCE) kwenye vituo vyote vya kutoa huduma za afya wilayani humo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa gari mpya ya kubeba wagonjwa kwa ajili ya... Read More