0 Comment
Na Mwandishi Wetu Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kujisomea vitabu kwa ajili ya kujiongezea maarifa mbalimbali ikiwemo mbinu za kujiendeleza kiuchumi. Akiongea wakati wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho ‘I Am Positioned’ kilichoandikwa na mwandishi Leah Karunde, ambaye pia ni mshauri wa masuala ya kodi, Kamishna wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta... Read More