0 Comment
Na Said Mwishehe NGOJA nikwambie kitu mtu wangu ingawa najua itakuwa unafahamu kwamba Chama Cha Mapinduzi(CCM) Januari 18 hadi 19 mwaka huu wa 2025 kinafanya mkutano mkuu maalum. Tufanye hivi ajenda zinaweza kuwa zaidi ya mbili au tatu lakini unachotakiwa katika akili yako ni ajenda kuu ya mkutano huo ni kujaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti... Read More