0 Comment
Mkali na Mkongwe kwenye Game, Dully Sykes amefunguka na AyoTVENT kuhusu Kuchelewa kuingia kwenye ndoa mpaka leo hii akiwa na miaka zaidi ya 40 ikiwa bado anafanya vizuri kwenye Muziki lakini haamini kuingia kwenye ndoa kwa sasa Dully amezungumza hayo wakati akihojiwa kuhusu wimbo wake wa ‘Zali’ aliomshirikisha Alikiba, kufanya vizuri na kumrudisha kwenye trending... Read More