Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amewataka vijana kuendeleza umoja na mshikamano pamoja na kuwa na dhamira njema ya kuijenga nchi ili kila mmoja aweze kunufaika na matunda ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964. Akizungumza na Vijana wa Umoja wa Vijana wa CCM Zanzibar (... Read More
Na John Walter -Babati Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Daniel Sillo, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi mkubwa wa maji katika Kata ya Arri. Mheshimiwa Sillo ameweka jiwe hilo la msingi leo Januari 3,2025, ambao unatekelezwa chini ya usimamizi wa Wakala wa... Read More
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga, Thomas Masese, amewakumbusha wafanyabiashara kuhusu dirisha la makadirio ya kodi kwa mwaka wa 2025, linaloanzia Januari hadi Machi 2025, likiwa na lengo la kurahisisha ulipaji kodi bila kuwekewa adhabu. Akizungumza Meneja Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga amesema kuwa lengo la kukutana na... Read More
Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yasushi Misawa leo tarehe 03/01/2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumuaga baada ya kumaliza muda wake. Katika mazungumzo yao yaliyojikita kwenye masuala ya Kodi, Uwekezaji, kubadilishana... Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania January 4, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 4, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Mbunge wa Jimbo la Mafinga na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Cosato Chumi (Mb) ametembelea TFS-Shamba la Miti Sao Hill ili kuona namna shughuli za upandaji miti na uhifadhi wa misitu zinazofanywa na Shamba Mbunge wa Jimbo la Mafinga na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano... Read More
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na maafisa wa shirika la umeme nchini [tanesco] linawashikilia watuhumiwa wawili Movin Joseph Mwaholi [53] Mfanyabiashara wa vifaa vya umeme na Rehema Jamson Silia [42] Mfanyabiashara wa chuma chakavu, mkazi wa nzovwe kwa tuhuma za kukutwa na miundombinu ya umeme na maji. Watuhumiwa walikamatwa Januari 02, 2025... Read More
Na Nihifadhi Abdulla, Zanziba TUKIWA tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2025 Jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ambazo zinalenga wanawake kupata uongozi kwa kuzingatia usawa wa kijinsi na kuhakikisha 50 kwa 50 inafikiwa kwenye nafasi hizo. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi haki za wanawake za kushiriki katika uongozi, ibara ya 21 inasisitiza kuwa kila... Read More