0 Comment
Kampuni ya Vodcell yaelekezwa kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu shilingi milioni 362 ndani ya siku saba ikiwa ni fedha za ushuru wa zao kwa Halmashauri hiyo. Maelekezo hayo yametolewa na Mhe. Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo akiwa kwenye ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Mkoani Shinyanga tarehe 15 Septemba 2024. Aidha, Waziri... Read More