0 Comment
NA WILLIUM PAUL, SAME. OFISI ya Mkuu wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro imetoa vyeti vya pongezi kwa Taasisi ambazo zimefanya vizuri kwenye ukusanyaji wa Mapato Wilayani humo,. Taasisi hizo ni Mamla ya Mapato Tanzania (TRA), Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi. Moja ya Taasisi iliyofanya vizuri zaidi... Read More