0 Comment
NA WILLIUM PAUL, DODOMA. VIJANA wa Chama cha Mapinduzi wametakiwa kutengeneza msingi imara katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba mwaka huu ili kuhakikisha Chama kinashinda kwa kishindo kwani ndio Dira ya kuelekea uchaguzi mkuu 2025. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Mwandamizi UVCCM kutoka makao makuu, Kajoro Vyohoroka wakati alipokuwa akitoa semina ya kuelekea... Read More