Na Mwandishi Wetu
Mashindano hayo yaliyoratibiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mbopo Kata ya Mabwepande Bushir Mziwanda kwa ajili ya kuwajenga vijana katika mazoezi kuepukana na magonjwa yasioambukiza.
Akizungumza baada ya kuhitimishwa na kupatikana wa mshindi Mgeni rasmi Mjumbe wa kamati ya Siasa CCM kata ya Mabwepande Amani Ngenje alisema kuwa mashindano hayo ni pamoja na vijana kujiandikisha katika uchaguzi wa Serikali ya Mtaa.
Kuandaa mashindano ni kufanya kuwafikia wananchi na vijana katika ushiriki wa jambo lolote kwa kutumia michezo.
Hata hivyo amesema kuwa mashindano hayo yatakuwa endelevu katika michezo yote kwa kuanzia wameanza na mpira wa muguu.
Amesema katika michezo iliyofanyika kuna uwezekano kupata timu moja kwa uchaguzi kwa kila mchezaji.