Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Ulaya kutoka Kamati ya Ushirikiano na Maendeleo, kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam Februari 24.2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha ya simba Mwenyekiti wa Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Ulaya kutoka Kamati ya Ushirikiano na Maendeleo, Barry Andrews, kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam, Februari 24.2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipeana mkono na Mwenyekiti wa Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Ulaya kutoka Kamati ya Ushirikiano na Maendeleo, Barry Andrews, kwenye ukimbi wa Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam Februari 24.2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Ulaya kutoka Kamati ya Ushirikiano na Maendeleo Barry Andrews, kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam Februari 24.2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)