
Mwenyekiti wa Bodi ya TASAC Nah.Mussa Mandia akizungumza na na Wananchi wa Chamchuzi hawapo pichani wakati bodi ilipotembelea wa mwalo uliopo katika Kijiji hicho.

Mwenyekiti wa Bodi ya TASAC Nah.Mussa Mandia akimkabidhi zawadi ya TASAC Katibu Tawala wa Wilaya ya Karagwe Rasul Shandala K wakati wa Bodi hiyo ilipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe katika ziara ya Bodi mkoani Kagera.
Mwenyekiti wa Bodi ya TASAC Nah.Mussa Mandia akizungumza na katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Karagwe wakati Bodi hiyo ilipofanya ziara ya kukagua shughuli za Mialo na Ziwa katika Wilaya hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Julius Laizer akizungumza na bodi ya TASAC iliyotembelea Ofisi yake hawapo pichani ikiwa ni ziara ya Bodi katika Wilaya hiyo.
Afisa Mtendaji wa Chamchuzi Jonas Philimaerik akizungumza na wananachi wakati wa bodi ya TASAC ilipofanya ziara katika mwalo huo.
Matukio katika picha wakati ziara ya Bodi ya TASAC wilayani Karagwe.