Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya wilayani Kwimba mkoa wa Mwanza Mei 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa chuo cha Maendeleo Michezo Malya wilayani Kwimba mkoa wa Mwanza, Mei 18, 2025. Wa tatu kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Paramagamba Kabudi, wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Ujenzi wa chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya, Peter Naingo, alipokagua mradi huo akiwa katika ziara ya kikazi mkoa wa Mwanza, Mei 18, 2025. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, wa tatu kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Paramagamba Kabudi , wa nne kulia ni Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega na wa tano kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni , Sana na Michezo, Gerson Msigwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)