KAMPUNI kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet wamekuletea promosheni mpya ambayo inakupa nafasi ya kutimiza ndoto zako. Ni Wazdan ambayo imekuja na mashindano ya Mystery Multiplier Drop yanayokufanya ujishindie zaidi ya Bilioni 1 hapa hapa.
Mashindano haya za Wazdan yameanza jana na mwisho wake utakuwa ni Julai 7 saa 01:59 usiku huku wateja wakipewa nafasi kubwa ya kuondoka na tabasamu la uhakika kabisa kila wakishiriki mashindano haya.
Kampeni hii inaleta msisimko wa ajabu kabisa kwa watu wote ambao watashiriki kwani huenda haya ndio mashindano ambayo yataenda kubadilisha maisha yako kabisa kwani thamani yake ni Bilioni 15 za kitanzania (15,000,000,000). Unasubiri kujiunga na msisimiko huu ndani ya Meridianbet?. Jisajili hapa.
Ikumbukwe kuwa mashindano haya yapo kwenye mfumo wa multiplier ( marudio ya ushindi) ambao unatamani kubadilisha maisha wa wachezaji wake kwani ushindi upo maradufu hapa. Unataka kujishindia Bilioni 1?. Ingia mzigoni na ushiriki michezo mbalimbali ambayo inatolewa na mtoa huduma wa michezo ya Kasino WAZDAN.
Michezo ambayo itashiriki kwenye kampeni hii ni pamoja na Vegas Hot, Fire Bird, Magic Fruits 81, Black Horse, Sizzling 777, 30 Coins, Magic of the Ring, Mighty Wild Jaguar na mingine mingi ambayo wewe utaamua ni mchezo gani ambao unahitaji kucheza.
Leo hii ndani ya Meridianbet unaweza ukatusua kijanja kabisa kwa kucheza michezo ya Kasino kama vile Poker, Keno, Roulette, Aviator, Superheli hivyo ingia na ukusanye maokoto zaidi na zaidi. Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye ODDS KUBWA. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz
Hivyo basi wewe kama mteja wa Meridianbet, wakati ndio huu hapa changamkia fursa hii nzuri kabisa ambayo imekuja kwako. Weka dau lako na uanze safari yako ya ushindi sasa.
SHERIA ZA KAMPENI HII HIZI HAPA
● Wachezaji watashiriki kampeni hii kwa kuweka dau linalostahiki katika michezo shiriki wakati wa kipindi cha kampeni.
● Zawadi kuu ya promosheni hii ni kuzidisha dau , na ukishinda utapokea kiasi cha dau lako kikizidishwa kwa Multiplier husiku na italipwa kama zawadi ya pesa taslimu.
● Mchezaji anaweza kushinda zaidi ya zawadi moja ya bahati wakati wa kampeni.
● Dau linalostahiki linaweza kushinda zawadi moja. Zawadi zitatolewa bila mpangilio maalumu wakati wa kampeni.
● Hakuna kiwango cha chini cha dau kinachohitajika , Kila dau linastahiki.
● Prmosheni hii ina jumala ya thamani ya shilingi Bilioni 15 (15,000,000,000 TZS).
● Thamani ya juu ya zawadi za pesa taslimu ni shilingi 1,950,000,000 TZS.
● Kiwango cha juu cha dau kinachotumika kama msingi wa malipo ya zawadi ni shilingi 9000 TZS.
● Zawadi za pesa hazina masharti ya kuweka dau tena.
● Zawadi zilizopatikana wakati wa kutumia fedha za bonasi zitalipwa zitalipwa kwa fedha za bonasi.
Ndugu mteaja wa Meridianbet fuata vigezo na masharti ya kampeni hii sasa uwe moja wa watu ambao watajishindi zaidi ya bilioni 1 za Kitanzania. Cheza sasa.