Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama amewataka watanzania kupuuza habari zinazogaa kuwa amefukuzwa kwenye nyumba yake ya Upanga Dar es Salaam,
“Video zinazosambaa zinatumika na watu wasio na nia njema na mimi na wana lengo la kunichafua hasa kipindi hichi cha vita za ubunge” Alex Msama