Klabu ya Simba Sc imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya klabu ya Al Zulfi Fc inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 huko Cairo, Egypt
FT: Simba Sc ๐น๐ฟ 1-0 ๐ธ๐ฆ Al Zulfi
โฝ 24โ Ahoua
โย