Meneja wa Manchester United Ruben Amorim anaweza kutafuta kuimarisha safu yake ya ushambuliaji mwezi Januari ikiwa jeraha la goti la mshambuliaji wa Slovenia Benjamin Sesko mwenye umri wa miaka 22 litakuwa kubwa, kwani tayari anakabiliwa na kupoteza mshambuliaji wa Cameroon Bryan Mbeumo, mwenye umri wa miaka 26, na Amad Diallo wa Ivory Coast, mwenye umri wa miaka 23, wakiwa katika majukumu ya kimataifa katika Kombe la Mataifa ya Afrika. (Mirror)