MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa CCM Mjini Tabora, akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama, utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kusikiliza kero za wananchi.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, akizungumza na viongozi wa vyama vya ushirika vya mkoa wa Tabora kusikiliza changamoto za wakulima hususan wa tumbaku wa mkoa huo, akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama, utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kusikiliza kero za wananchi.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, akizungumza jana na wananchi katika eneo ambalo ulifanyika mkutano wa hadhara mwaka 1958 ulioongozwa na Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere baada ya kupitisha azimio la TANU kushiriki uchaguzi wa kura tatu ambao ulikuwa hatua muhimu iliyofanikisha Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) mwaka 1961. Wasira amehitimisha ziara ya kukagua uhai wa Chama, utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kusikiliza kero za wananchi mkoani Tabora,
Na Mwandishi Wetu, Tabora