Sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningelazimika kusimulia hadithi ya namna hii. Mimi ni mama wa mtoto mmoja, Kelvin, mwenye umri wa miaka saba. Kwa muda mrefu, nilihangaika kumsaidia kuondokana na tabia ya kukojoa kitandani.
Nilijipa moyo kuwa ni hali ya kawaida kwa watoto wengine kuchelewa kukomaa, na nilijitahidi kuwa mvumilivu, nikiamini kwamba muda ukifika kila kitu kingeenda sawa….. SOMA ZAIDI