Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Zanzibar Shaib Ibrahim Muhamed huko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud huko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita akitoa salamu kwa Viongozi na Watendaji mbali mbali huko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Burian akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud huko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ali Ussi akivaliswa skafu katika makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru, huko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Wilaya ya Magharibi ‘B’.
Wakimbiaji wa Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume