Naibu Waziri anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi, amechukuwa Fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mikumi kwa awamu nyingine.
Londo amekabidhiwa Fomu hiyo na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa Ndg. Janus Mfaume tarehe 29 Juni, 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kilosa.