Mshambuliaji wa timu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ureno Diego Jota amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea Zamora nchini Hispania
Taarifa za kifo cha Mchezaji huyo ambaye alikuwa na umri wa miaka 28 zimeripotiwa na vyombo vyza habari vya nchini Ureno pamoja na Hispania
Diogo Jota ameisaidia timu yake ya Liverpool kutwaa kombe la Ligi kuu Uingereza pamoja na kuisaidia timu yake ya taifga kubeba kombe la Ulaya mwaka huu.
Habari na EMMANUEL MBATILO, Michuzi TV
