Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.
Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.
FT: Morocco π²π¦ 1-1 πΈπ³ Senegal (P 5-3)
β½ 23β Bougrine
β½ 16β Samb
MATUTA: π²π¦ 5-3 πΈπ³
π²π¦Morocco β β β β β
πΈπ³Senegal ββ β β
FAINALI
Madagascar π²π¬π π²π¦ Morocco
MSHINDI WA TATU
Sudan πΈπ© π πΈπ³ Senegal
βΒ