0 Comment
Na.Vero Ignatus ARUSHA Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Umasikini umefanyika Jijini Arusha kwa lengo la Kuwaunganisha wataalamu wa utafiti na watunga sera,ambapo nchi za Afrika zikisisitizwa kuona kwamba ipo haja kuwekeza nguvu katika kilimo ili kuondokana na umaskini sambamba na kufanya tafiti za kilimo Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya... Read More