0 Comment
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amezishauri nchi za Afrika kuweka mikakati ya kufanya uwekezaji na biashara ndani ya Bara la Afrika ili kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya sera za kiuchumi zinazojitokeza hivi sasa duniani. Mhe. Dkt. Nchemba ametoa ushauri huo jijini Washangton D.C, nchini Marekani,... Read More