0 Comment
Farida Mangube, Morogoro Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Jesper Kamp, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa ilizopiga katika kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia sekta ya mifugo, hatua inayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa vijana wa Kitanzania. Balozi Jesper ametoa pongezi hizo Mkoani Morogoro kwa niaba ya mabalozi wenzake kutoka nchi za Nordic ambazo ni Denmark, Norway,... Read More