0 Comment
Na Diana Byera,Missenyi Wananchi wa wilaya ya Missenyi,mkoani Kagera wametakiwa kuachana na dhana potofu ya kuwa ukiandika Wosia ni kujitabiria kifo badala yake waandike Wosia wakiwa hai ili kupunguza changamotoo za ugomvi wa kifamilia zinazoongezeka Kila siku . Timu ya wataalamu wa kisheria wanaotekeleza kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Wilayani Missenyi wametoa... Read More