0 Comment
Na Mwandishi Wetu BARAZA la Taifa la Ujenzi (NCC) limesema uwezekano wa migogoro ya kibiashara, madai ya kimkataba na mingine iliyopo na inayojitokeza kwenye sekta mbalimbali nchini, ikiwemo ya ujenzi, inawezekana bila wahusika wa migogoro hiyo kupelekana mahakamani. Hali hiyo, kwa mujibu wa wataalamu wa masuala hayo ya usuluhishi na utatuzi wa migogoro wanaotoa mafunzo... Read More