0 Comment
Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Nyang’hwale iliyopo wilayani humo Mkoani Geita wamekabidhiwa Runinga pamoja na Kisimbuzi kwa ajili ya kufatilia Maenddleo ya Miradi yanayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan. Makabidhiano hayo yamekuja Baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita , Manjale Magambo kufanya ziara wilayani Nyangh”wale... Read More