0 Comment
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Aprili 26, 2025 amewasili Mkoani Mbeya kwa ajili ya kuanza ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Aidha, leo kiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Muungano hapa nchini tayari amepata fursa ya kukagua miradi... Read More