0 Comment
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema mabadiliko ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump yanaifanya Tanzania iendelee kujiimarisha na kuwa na uwezo wa ndani na kuondoa utegemezi ili isitokee athiri na kuwataka Watanzania kutumia rasilimali za ndani ili kujenga uchumi. Waziri mkuu Majaliwa kauli hiyo bungeni jijini Dodoma wakati... Read More