0 Comment
9Watu 11 waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa Alhamisi wakati wa mlipuko katika mji wa mashariki mwa Congo wa Bukavu uliotokea kwenye mkutano wa hadhara ulioongozwa na viongozi wa kundi la M23, ambalo lilichukua udhibiti wa mji huo mapema mwezi huu. Viongozi wa waasi wameituhumu serikali ya Congo kwa shambulizi hilo la bomu na kusema washambuliaji... Read More