0 Comment
Mwamvua Mwinyi, Chalinze Februari 27, 2025 Shule ya Sekondari Kibindu, iliyopo Kata ya Kibindu, Jimbo la Chalinze, Mkoani Pwani, ina jumla ya mabweni manne ya wasichana, lakini idadi ya wanafunzi wanaoishi kwenye mabweni hayo haifikii nusu ya wanafunzi wa kike 300 wanaosoma shuleni hapo. Aidha, shule hiyo inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa... Read More