0 Comment
Afisa Utawala Kiwanda Cha Bagamoyo Sugar Limited Ibrahim Juma Mohammed akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Shaibu Ndemanga (kulia) vikoti vya kuakisi mwanga 80 ambavyo vitatumiwa na Jeshi la Polisi Barabarani katika Kata ya Zinga makabidhiano hayo yamefanyika leo tarehe 13,Januari 2025. Wanafunzi wa Shule mbalimbali zilizopo Kata ya Zinga wakimsikiliza kwa makini Sgt.Otilia Ponera... Read More