0 Comment
Na Said Mwishehe,Michuzi TV JUZI kati nilikuwa na mshikaji wangu fulani hivi basi tukawa tunapiga stori kuhusu nchi yetu chini ya uongozi wa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Katika mazungumzo yetu tukakubaliana kwa kauli moja Rais Dk.Samia tunampenda na katika uchaguzi mwaka huu tutamchagua tena kiroho safi.Tunampenda naye anatupenda. Zipo sababu nyingi za kumchagua Rais Samia... Read More