0 Comment
Na Mwandishi Maalum,Songea WAATHIRIKA wa maafa yaliyotokana na mvua pamoja na upepo mkali tarehe 28 Desemba 2024 na Tarehe 2 Januari mwaka huu wilayani Songea mkoa wa Ruvuma,wameanza kupokea misaada ya kibinadamu kutoka kwa Serikali ya wilaya ya Songea na na wadau mbalimbali. Akizungumza kabla ya kukabidhi msaada huo Mkuu wa wilaya ya Songea Kapenjama... Read More