0 Comment
Songea, Ruvuma – Juni 12, 2025 Afisa Tehama kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Alfa Makaya, amesema kuwa ni muhimu kwa kila mtu kulinda simu yake kwa kuweka nywila (password) thabiti, kwani kufanya hivyo si hiari bali ni wajibu wa kisheria unaolenga kulinda faragha ya mtu binafsi. Amesema kuwa... Read More