0 Comment
Na John Bukuku, Dar es Salaam Mabadiliko ya mitaala ya elimu yaliyoanza kutekelezwa mwaka 2023 yameendelea kuzaa matunda, ambapo walimu nchini wameonesha ubunifu na umahiri wa hali ya juu katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) pamoja na mbinu shirikishi za kisasa katika ufundishaji. Akizungumza Juni 14, 2025 jijini Dar es Salaam katika... Read More