0 Comment
OR-TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEM Mhe. Zainab Katimba amesema Serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya afya kwa kutenga bajeti kwa ajili ya ununuzi wa magari ya wagonjwa, vifaa tiba na kuajiri watumishi wa kada mbalimbali za afya kwa ajili ya hospitali za Wilaya nchini ikiwemo Hospitali ya Mabogini. Mhe. Katimba ameyasema hayo bungeni jijini... Read More