0 Comment
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama kwa kufanya oparesheni, misako na doria zenye tija na kupata mafanikio ambapo kwa kipindi cha mwezi Februari jumla ya watuhumiwa 1108 walikamatwa kwa tuhuma za makosa mbalimbali ikiwemo mauaji, kujeruhi, kupatikana na nyara za serikali, kupatikana na Pombe Moshi na kupatikana na... Read More