0 Comment
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Bw. Salum Mtelela, akizungumza alipokutana na Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Fedha na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ambao walifika ofisini kwake kujitambulisha ili kuanza kutoa elimu ya fedha kwa wananchi katika maeneo mbalimbali wilayani humo. Na. Josephine Majura, WF, Bunda, Mara Serikali imezitaka Taasisi za Fedha... Read More