0 Comment
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Mhe. Onesmo Buswelu hivi karibuni, katika kikao kilichofanyika ofisini kwa Mkuu wa Wilaya. Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme akichangia wakati wa kikao kilichoongozwa na Naibu... Read More