0 Comment
Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa Tanzania, Esther Maruma (kushoto) akizungumza katika mkutano wa kuchochea kasi ya maendeleo ya Wanawake (Accelerate Women Summit 2025) uliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni, katikati ni ni Mkurugenzi wa Trademark Kanda ya Africa Mashariki na Kati, Monica Hangi na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Yono, Scolastika Kevela.... Read More